Leclerc, Verstappen kuwania Miami GP, Jumapili hii

Kwa mara ya kwanza F1 inafanyika katika Jiji la Miami Jumapili hii Mei 8, 2022.

Raundi ya 5 ya mbio za magari yaendayo kasi Langa langa (Formula 1) msimu huu wa 2022, zinafanyika Jumapili hii Mei 08, 2022. Nchini Marekani jijini Miami ikiwa ni kwa mara ya kwanza mbiao hizi zinafanyika katika jiji hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS