Tunaboresha sera za uwekezaji - Dkt. Nchemba

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewahakikishia wawekezaji kutoka Uingereza na Norway kwamba Serikali itatoa ushirikiano mkubwa ili kufanikisha uwekezaji wao hapa nchini kwa kuweka mazingira bora ya uwekezaji pamoja na vivutio kadhaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS