Afunguliwa mashtaka kwa kumtukana Rais Rais wa Malawi Lazarus Chakwera Jeshi la Polisi nchini Malawi linamshikilia muuguzi wa afya katika hospitali ya wilaya ya Ntcheu kwa tuhuma za kuandika maneno ya kumkashifu Rais wa nchi hiyo Lazarus Chakwera, kupitia WhatsApp 'group'. Read more about Afunguliwa mashtaka kwa kumtukana Rais