Hizi ndio bei mpya za nauli zilizotangazwa

Mamlaka ya udhibiti wa usafiri Ardhini LATRA imetangaza viwango vipya vya bei ya nauli za daladala na mabasi ya mikoani huku nauli ya daladala kwa wanafunzi ndio nauli iliyobaki kama ilivyokuwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS