"Desemba wenye VVU watafikia milioni 1.7" - Ummy

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema hadi kufikia Desemba 2022 Tanzania inakadiriwa kuwa na Watanzania milioni 1.7 ambao wanaishi na virusi vya Ukimwi na kati yao milioni 1.5 wameweza kutambua hali zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS