Nusu fainali UEFA, City vs Madrid mara ya 7

(Nusu fainali barani ulaya Manchester City vs Real Madrid)

Hatua ya Nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajiwa kuanza rasmi majira ya saa 4 usiku wa leo kwa mchezo mmoja kupigwa Kwenye dimba la Etihad, ambapo Manchester City watakuwa uwanjani kuwakabili Mabingwa wa kihistoria wa michuano hii Real Madrid.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS