Kulipwa million 348 kwa ubaguzi wa rangi

Yema Khalif na mkewe Hawi Awash.

Raia wa Kenya, Yema Khalif na mkewe Hawi Awash wanatarajia kulipwa kiasi cha $150,000 sawa na Tsh million 348 katika mji wa California, Marekani baada ya kufanyiwa ubaguzi wa rangi na maofisa wa polisi katika mji huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS