Dereva aliyesababisha vifo vya watu 6 akamatwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha ACP Justine Masejo, akiwa eneo la ajali

Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha linamshikilia dereva wa lori, aliyesababisha ajali na kupelekea vifo vya watu sita na wengine wanne kujeruhiwa baada ya kuigonga Toyota Noah, katika eneo la Alkatani, Kata ya Sepeko, Tarafa ya Kisongo wilaya ya Monduli mkoani Arusha usiku wa kuamkia leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS