Hatuna silaha bora - Rais Zelensky Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, amesema kuwa endapo nchi yake ingekuwa inamiliki silaha bora zaidi ikilinganishwa na zile za Urusi, basi wangekuwa tayari wamekwishamaliza vita nchini humo. Read more about Hatuna silaha bora - Rais Zelensky