Bibi amuua mjukuu kwa maji ya moto kisa kujisaidia

Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga George Kyando

Mtoto mwenye umri wa miaka minne mkazi wa Kijiji cha Lyabukande, Halmashauri ya Shinyanga amefariki dunia baada ya kupigwa fimbo na bibi yake kisha kumwagiwa maji ya moto kutokana na kujisaidia hovyo huku mdogo wake mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu akijeruhiwa kwa fimbo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS