Uganda yatangaza ahueni ya Uviko  - 19

Serikali ya Uganda imetangaza kuwa hakuna mgonjwa wa Covid - 19 aliyelazwa hospitalini nchini humo
Msemaji wa wizara ya Afya Emmanuel Ainebyoona amesema pamoja na tangazo hilo wananchi waendelee kuchukua tahadhari zaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS