Wachimbaji wadogo kuboreshewa mazingira
Tanzania ni miongoni mwa nchi nne za Afrika zitakazonufaika na ufadhili wa Euro milioni 11 (sawa na Shilingi bilioni 30) kutoka Umoja wa Ulaya, ufadhili huo unaolenga sekta ya madini unatajwa kuongeza thamani katika sekta ya madini na biashara.