Watanzania waunda mfumo wa kusahihisha Mitihani

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda (Mb) akifafanua jambo kwa baadhi ya wataalamu waliopo katika majaribio ya usahihishaji mitihani kwa kutumia Mfumo wa Kidijitali ulioandaliwa na Baraza la Mitihani Tanzania.

Serikali ya imeridhia kuanza kutumika kwa Mfumo wa Kidijitali wa Usahihishaji Mitihani ya Kitaifa ya Ualimu mfumo ulioandaliwa na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS