Kijana ajinyonga na kuacha ujumbe wa wapi azikwe

Kamanda wa polisi mkoa wa Katavi Ali Makame

Kijana Idrisa Milundiko ambaye ni dereva bodaboda, amekutwa amejinyonga katika pori la Kasokola mkoani Katavi kwa kutumia mkanda wa suruali huku akiacha ujumbe uliosomeka “kaka mimi naenda kujinyonga kwani nina matatizo mengi na mwili wangu upelekwe kwa mjomba wangu aishiye Makanyagio”.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS