England kucheza Molineux baada ya  miaka 66

(Kikosi cha timu yataifa ya England 2022)

Uwanja wa Molinuex unaomilikiwa na klabu ya Wolverhampton umechaguliwa na Shirikisho la Soka nchini England kutumika kama uwanja wa nyumbani wa timu ya taifa England kwenye michezo miwili ijayo ya michuano ya UEFA Nations League.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS