Malengo ya Simba ni kutetea ubingwa wa ASFC- Pablo

Kocha wa Simba Pablo Franco Martin

Kocha wa Simba SC Pablo Franco martin amesema malengo yao ni kuhakikisha wanashinda mchezo wao wa kombe la Azam Sports Federation Cup kesho dhidi ya Ruvu Shooting, huku malengo ikiwa ni kutetea ubingwa wa michuano hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS