Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Tabora, ACP Richard Abwao
Jeshi la Polisi mkoa wa Tabora limekamata mtandao wa watu tisa (9) ambao wametajwa kuhusika na tuhuma za mauaji pamoja na kuendesha biashara ya mauziano ya viungo mbalimbali vya sehemu ya mwili wa binadamu.