Manchester United kujiuliza kwa Brighton EPL leo

(Wachezaji wa Manchester united wakipasha misuli kabla ya mchezo.)

Manchester United wanataraji kushuka dimbani saa 5:15 usiku wa Leo Februari 15,2022 kucheza dhidi ya Brighton & Hove Albion katika mchezo wa kiporo cha Ligi Kuu ya England kujaribu kutafuta ushindi ili kurudisha hali ya utulivu na kujiamini kwenye timu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS