Zimamoto kujiimarisha kidigitali

Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Zimamoto Tanzania, Puyo Nzalayaimisi

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini limesema kwamba litaboresha mifumo yake ya kidigitali katika utoaji wa taarifa kwa umma, utakaowezesha kutoa taarifa kwa wananchi wengi kwa wakati mmoja ili kutatua changamoto za majanga ya moto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS