Rekodi za kibabe, nusu fainali ya kwanza AFCON

Wachezaji wa timu ya taifa ya senegal wakishangilia goli kwenye moja ya michezo ya AFCON

Nusu fainali ya kwanza ya michuano ya soka ya mataifa barani Afrika AFCON inachezwa leo usiku ambapo timu ya taifa ya Burkina Faso na Senegal zitashuka dimbani kuchuana kuwania nafasi ya kucheza fainali ya michuano hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS