Mwanamke anyongwa mchana wa saa 8

Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe

Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linaendelea na uchunguzi kufuatia tukio la mauaji ya mke wa mfanyakazi wa mgodi wa dhahabu wa GGM, aliyekutwa amenyongwa nyumbani kwake jana Februari Mosi, 2022, majira ya saa 8:00 mchana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS