Tembo Warriors kujiandaa na Kombe la Dunia Uturuki

(Tembo Warriors dhidi ya Cameroon Disemba 1, 2021 mchezo uliowafanya wafuzu Kombe la Dunia baada ya ushindi wa 5-0)

Timu soka ya Tanzania ya watu wanaoishi na Ulemavu ‘Tembo Warriors’ inataraji kuingia kambaini kuanzia mwezi ujao ili kujiandaa na michuano ya Kombe la Dunia linalotaraji kuanza Oktoba 1 hadi 9, 2022 Istanbul, Uturuki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS