Wananchi kupita bure daraja la Tanzanite

Kufuatia kukamilika Kwa ujenzi wa Daraja la Tanzanite Bridge (Salenda) sasa rasmi litaanza kutumika Februari 2022. Ameeleza Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa alipofika kujionea daraja hilo leo Januari 30, 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS