Dereva aliyesababisha vifo Kimara akimbia

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro

Watu wawili wamepoteza maisha na wengine nane (8) kujeruhiwa, hii leo Januari 28, 2022, katika ajali iliyohususha lori na watembea kwa miguu maeneo ya Kimara Suka Jijini Dar es salaam, baada ya dereva wa lori hilo kupita kwenye kivuko cha watembea kwa miguu bila kuchukua tahadhari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS