Kadi nyekundu zatawala AFCON, rekodi mpya yawekwa
Michuano ya soka ya mataifa barani Afrika AFCON imetawaliwa na kadi nyekundu, na fainali za mwaka huu zimefunja rekodi ya kuwa na kadi nyingi zaidi ukilinganisha na fainali 4 zilizopita za michuano hii zimetolewa kadi 13 mpaka sasa, mashabiki walalamika.