Kadi nyekundu zatawala AFCON, rekodi mpya yawekwa

Jumla ya kadi nyekundu 13 zimetolewa kwenye fainali za AFCON mpaka sasa zikiwa ni kadi nyingi ukilinganisha na fainali zilizopita

Michuano ya soka ya mataifa barani Afrika AFCON imetawaliwa na kadi nyekundu, na fainali za mwaka huu zimefunja rekodi ya kuwa na kadi nyingi zaidi ukilinganisha na fainali 4 zilizopita za michuano hii zimetolewa kadi 13 mpaka sasa, mashabiki walalamika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS