Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma, Onesmo M. Lyanga
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma, Onesmo M. Lyanga amethibitisha kutokea kwa tukio la kuuawa kwa watu watano wa familia moja na watu wasiojulikana katika wilaya ya Bahi mkoani Dodoma.