Mwamuzi mtanzania kuchezesha AFCON, leo

Frank Komba

Mwamuzi wa Tanzania Frank Komba ni miongoni mwa waamuzi watakao chezesha mchezo wa kundi C wa michuano ya AFCON mchezo kati ya timu ya taifa ya Gabon dhidi ya Morocco, mchezo unaochezwa leo Saa 4:00 Usiku katika muendelezo wa michuano hii inayoendelea nchini Cameroon.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS