Marekani kudhibiti mashambulio nchini Ukraine

Rais wa Marekani Joe Biden

Rais wa Marekani Joe Biden, amesema kwamba kwa kushirikiana na washirika wake, watahakikisha wanadhibiti mashambulio nchini Ukraine na kuiwajibisha Urusi baada ya jeshi la nchi hiyo kuivamia Ukraine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS