Klopp amechambua mbio za ubingwa EPL

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp anasema kama wanataka ubingwa bingwa lazima washinde mechi zote

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amesema ni lazima washinde michezo yao yote iliyosalia kama wanataka kuwa mabingwa wa Ligi Kuu England. Kocha huyo mjerumani amesema hayo baada ya timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Leeds United na sasa wanazidiwa alama 3 na Mancheste City.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS