Nilipigwa shoti ya umeme- Daniel

Daniel Joseph

Kijana Daniel Joseph, ameeleza namna mwaka 2014, ulivyobadilisha maisha yake baada ya kupigwa na waya wa umeme wakati akitokea shambani kumsaidia rafiki yake kubeba mahindi, hali ambayo imempelekea sura yake isiwe ya kawaida.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS