Katompa apinga matokeo dhidi ya Kidunda

(kutoka kushoto: Kidunda, Promota Selemani Semunyu na Katompa)

Bondia Erick Tshimanga Katompa amepinga matokeo ya sare dhidi ya bondia Mtanzania, Selemani Kidunda kwenye mpambano uliotazamiwa kuwa wa mzunguko wa kumi kuwania mkanda wa WBF 2021 uliofanyika usiku wa jana Disemba 26, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS