Stephen Curry wa kwanza 3-pointers NBA

(Stephen Curry akijaribu kufunga mbele ya mlinzi wa LA Clippers)

Stephen Curry amefunga 3-pointers 6 na kufikisha 2,977 hivyo kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa pekee kwenye historia ya Ligi ya kikapu Marekani ‘NBA’ kuwa na 3-pointers nyingi zaidi na kumpiku gwiji wa zamani wa Milwaukee Bucks, Rey Allen aliyekuwa anaishikilia rekodi hiyo akiwa na 2,973.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS