Sababu za Kurasini Heat kujitoa BAL 2021

(Kikosi cha timu ya Kuraini Heat kilichocheza michezo ya kuwania BAL 2021)

Shirikisho la mchezo wa mpira wa kikapu nchini TBF limetoa taarifa kwa umma kuelezea sababu za timu ya Kurasini Heat kujitoa kwenye hatua ya awali ya mzunguko wapili kuwania kufuzu michuano ya klabu bingwa Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS