Polisi TZ kuifuata TZ Prisons leo
Timu ya Polisi Tanzania imeondoka leo Jumatano ya Februari 9, 2022 kutoka Jijini Dodoma kwenda kuweka kambi ya siku 5 katika mji wa Tunduma mkoa wa Songwe kujiandaa na mchezo wa FA dhidi ya Tanzania Prison mchezo utakaochezwa kwenye dimba la Sokoine Jijini Mbeya Februari 15, 2022.

