Askari waliogeuza simu za wizi miradi kuchunguzwa

Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini SACP David Misime,

Jeshi la Polisi Tanzania limeanza uchunguzi dhidi ya askari wanaotumia fursa ya watu kuibiwa simu kuanza kuwaomba pesa ili wawasaidie kutafuta simu hizo na hatua kali kwa askari wanaohusika na utovu huo wa nidhamu zitachukuliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS