Kesi dhidi ya Makonda yaunguruma Mahakamani

Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni leo Februari 8, 2022, inatarajia kusikiliza maombi ya kesi namba 1 ya mwaka 2022, inayomkabili aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, iliyofunguliwa na Saed Kubenea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS