Senegal wavunja mwiko waifunga Misri fainali AFCON
Timu ya taifa ya Senegal imeshinda ubingwa wa michuano ya AFCON kwa mara ya kwanza kwa mikwaju ya penati 4-2 dhidi ya mabingwa mara 7 na wakihistoria timu ya taifa ya Misri kwenye mchezo wa fainali uliochezwa katika uwanja wa Olembe Yaoundé Cameroon.

