Jiko la mkaa laua wawili

Jiko la mkaa

Watoto wawili wa familia moja katika kijiji cha Usuhilo Manispaa ya Tabora, wamefariki dunia kwa kukosa hewa ya kutosha baada ya wazazi wao kuwasha jiko la mkaa na kuliweka ndani ili waote moto na kuikinga na baridi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS