Manchester United na rekodi ya kibabe kwa Chelsea

(Jado Sancho akimtoka Jorginho na kwenda kufunga bao la Man United)

Mchezo kati ya Chelsea na Manchester United ulimalizika usiku wa jana kwa sare 1-1 kwenye dimba la Stamford Bridger huku wenyeji Chelsea wakilazimika kusawazisha ili kukwepa kipigo kingine kwenye EPL.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS