Kiti kilichoachwa wazi na Dkt. Tulia kujazwa
Katibu wa Bunge Nenelwa Mwihambi, amesema kwamba uchaguzi wa kumpata Naibu Spika wa Bunge hilo utafanyika Februari 11, 2022, na kuvitaka vyama vyenye wawakilishi Bungeni kushiriki na kianze mchakato wa kumpata mgombea kutoka miongoni mwa wabunge wa chama hicho.

