Uwanja wa Sokoine wamnyong'onyesha Nabi Kocha Mkuu wa Young Africans Nesreddine Mohammed Nabi, amesema wachezaji wote wako katika hali nzuri kuelekea mchezo wa Mzunguuko wa saba wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mbeya Kwanza FC. Read more about Uwanja wa Sokoine wamnyong'onyesha Nabi