Hizi hapa timu 8 zilizofuzu robo fainali ASFC

Kikosi cha Yanga ni moja ya timu iliyofuzu hatua ya robo fainali

Hatua ya 16 bora ya michuano ya Azam Sports Federation Cup imekamilika jana kwa michezo miwili ambapo klabu za Simba SC na Pamba FC zimeungana na timu nyingine 6 ambazo zilishafuzu hatua inayofata ya robo fainali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS