Alichokisema Lema baada ya Rais kukutana na Lissu
Aliyewahi kuwa mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amesema kwamba amefurahishwa na kitendo cha Rais Samia kukutana na Tundu Lissu nchini Ubelgiji na kuamini kwamba wamejadili kwa kina hali ya nchi ya Tanzania.

