Kijana abeba bango kumtafuta Baba
Kijana mmoja nchini Kenya aitwaye Benson Kirobi, anamtafuta Baba yake aitwaye Benson Obote, ambaye hajawahi kumuona tangu azaliwe na kusema kwamba baba yake huyo alikuwa mwanajeshi na alitumwa nchini Sierra Leone kufanya kazi na hakuwahi kurudi tena.