Sababu za Mwakinyo kuvuliwa Mkanda WBF

(Bondia Hassan Mwakinyo baada ya kushinda Mkanda wa Ubingwa wa WBF)

Shirikisho la Ngumi  za Kulipwa Duniani 'WBF' leo Jumatatu Januari 24, 2022 limeweka wazi suala la bondia Hassan Mwakinyo kuvuliwa mkanda wa ubingwa wa WBF Intercontinental na kupelekea kupoteza pambano lenye malipo ya zaidi  Euro 30,000 sawa na Sh milioni 78 za Kitanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS