Djokovic kurejea Australia mwakani?

Djokovic akirejea nchini Serbia baada ya kuzuiliwa kuingia Australia, kushiriki michuano ya wazi nchini humo.

Nyota wa tenisi Novak Djokovic anaweza kurejea Australia mapema kuliko ilivyotarajiwa kufuatia kuondoshwa kwake nchini humo kutokana na kukosa vigezo kwenye hati yake ya kusafiria, waziri mkuu wa nchi hiyo anasema.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS