Man United yavutwa shati, yatoka TOP 4
Klabu ya Manchester united sasa imeshuka kutoka nafasi ya 4 hadi nafasi ya 5 katika msimamo wa EPL baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Burnley usiku wa jana kwenye dimba la Turf Moor. Katika mchezo huo nyota wa Ureno Cristiano Ronaldo alianzia benchi ikiwa ni mechi wake wanne.

