Man United yavutwa shati, yatoka TOP 4

(Jay Rodriguez akifunga bao kuisawazishia Burnley usiku wa jana)

Klabu ya Manchester united sasa imeshuka kutoka nafasi ya 4 hadi nafasi ya 5 katika msimamo wa EPL baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Burnley usiku wa jana kwenye dimba la Turf Moor. Katika mchezo huo nyota wa Ureno Cristiano Ronaldo alianzia benchi ikiwa ni mechi wake wanne.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS