Sehemu ya wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi haikuwa rahisi, na kuwataka Watanzania kuendelea kuilinda amani na utulivu uliopo nchini.