Djokovic akumbana na vikwazo Australia

Novak Djokovic (pichani) katika moja ya mechi aliyopoteza

Mchezaji namba mmoja kwenye mchezo wa Tenisi ulimwenguni, Novak Djovokic amezuiliwa kuingia nchini Australia, kwaajili ya kushiriki michuano ya wazi ya Australia ambayo yeye ndio bingwa mtetezi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS