Polisi waeleza dereva tax alivyotobolewa macho

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Ramadhan Ng’anzi

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, linawashikilia watu 10 kwa tuhuma za mauaji ya dereva taksi aliyekuwa anajulikana kwa jina la Respiciud Anastaz pamoja na Nicolaus Telesphory aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Mwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS