Polisi waeleza dereva tax alivyotobolewa macho
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, linawashikilia watu 10 kwa tuhuma za mauaji ya dereva taksi aliyekuwa anajulikana kwa jina la Respiciud Anastaz pamoja na Nicolaus Telesphory aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Mwanza.

