Chelsea ni timu bora kuliko Spurs - Conte

Wachezaji wa chelsea wakishangilia goli kwenye mchezo wa kombe la Carabao

Kocha wa Tottenham Antonio Conte amesema Chelsea walikuwa bora zaidi yao kwenye mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya kombe la Ligi Carabao Cup mchezo ambao ulimalizaka kwa Chelsea kuibuka na ushindi wa mabao 2-0. Kocha huyo amesema kuwa anakazi kubwa ya kufanya ili kuboresha kikosi chake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS