Ndugai anaweza kuachia ngazi - Ng'ingo

Mchambuzi wa siasa nchini Goodluck Ng'ingo, na kulia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai

Mchambuzi wa siasa nchini Goodluck Ng'ingo, amesema iwapo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, hatobadilika na kuendelea na utaratibu wake wa kukosoa hadharani nje ya kufuata utaratibu jambo ambalo litakuwa na manufaa kwa pande zote mbili ni yeye kuachia ngazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS